Wakulima watakiwa kuongeza tija Uzalishaji Mazao

Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake Anna Makinda.

Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake Anna Makinda ametoa wito kwa wakulima wa kanda ya Nyanda za juu Kusini kuongeza tija kwenye uzalishaji wa mzao ili kukidhi soko la kimataifa katika nchi za kusini mwa Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS