Wananchi watakiwa kuacha tamaa na pesa za TASAF Mkuu wa mkoa Mbeya,Abasi Kandoro Zaidi ya shilingi bilioni 2.3 zimeanza kugawiwa kwa wananchi kama ruzuku kwa kaya masikini mkoani mbeya kupitia mpango wa TASAF awamu ya tatu ambao unalenga kunusuru kaya masikini nchini. Read more about Wananchi watakiwa kuacha tamaa na pesa za TASAF