Kipindupindu chatua Dar, Wawili wafariki

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Seif Rashid

Watu wawili wamefariki dunia kwa ugonjwa wa kipindupindu katika jiji la Dar es salaam na wengine 30 wamelazwa katika hospitali katika za wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS