Kipindupindu chatua Dar, Wawili wafariki Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Seif Rashid Watu wawili wamefariki dunia kwa ugonjwa wa kipindupindu katika jiji la Dar es salaam na wengine 30 wamelazwa katika hospitali katika za wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam. Read more about Kipindupindu chatua Dar, Wawili wafariki