Lowassa kuongea na makundi ya wanawake leo

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akiongea na Mgombea kiti cha Urais kupitia chama hicho Mh. Edward Lowassa.

Mgombea urais wa CHADEMA kupitia UKAWA Mh Edward Lowassa leo anatarajia kuzungumza na makundi mbalimbali ya wanawake kabla ya uzinduzi wa kampeni kwa kueleza mipango alionayo katika kuinua uchumi wa wanawake na kupambana na umasikini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS