Watu elfu 52 wabainika kujiandikisha mara mbil BVR

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefanikiwa kubaini majina ya jumla ya watu 52,000 waliojiandikisha zaidi ya mara moja kwenye daftari la kudumu la wapiga kura kupitia mfumo wa Kielektroniki (BVR).

Taarifa hizo zimetolewa leo Jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu wa tume hiyo na Mkuu wa Kitengo cha Tehama Dk. Sisti Karia wakati akitoa ufafanuzi juu ya zoezi la daftari la kudumu la wapigakura tangu uandikishaji, utoaji vitambulisho, uhakiki pamoja na utoaji wa orodha ya wapiga kura.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS