Wajumbe wapya 12 kuratibu Miss Tanzania

Baadhi ya wajumbe wa Kamati Mpya itakayoratibu Mashindano ya Miss Tanzania katika mkutano na Waandishi wa Habari leo

Baada ya kufunguliwa kwa mashindano ya kumtafuta Miss Tanzania na Baraza la Sanaa la Tanzania (BASATA), Kamati ya Maandalizi ya Michuano hiyo imekuja na mikakati ya kurejesha mashindano hayo makubwa ya kusaka walimbwende nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS