Tutaifunga Yanga Ngao ya Jamii - Himid Mao Nahodha msaidizi wa mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, Himid Mao amesema wataichapa Yanga SC kwa mara nyingine watakapokutana katika mchezo wa Ngao ya Jamii. Read more about Tutaifunga Yanga Ngao ya Jamii - Himid Mao