Ngoma ya Eddy Kenzo yatakiwa SA

Staa wa muziki wa nchini Uganda Eddy Kenzo

Staa wa muziki wa nchini Uganda, Eddy Kenzo ameendelea kupata mashavu kupitia rekodi yake ya “Sitya Loss” kimataifa, baada ya watayarishaji wa filamu kubwa huko Afrika Kusini kuwasiliana naye wakitaka kutumia rekodi hiyo katika filamu yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS