Rapa Octopizzo kumbe alituzuga tu Rapa Octopizzo wa nchini Kenya Rapa Octopizzo wa nchini Kenya, anakabiliwa na kibarua cha kujitetea kwa mashabiki wake juu ya mustakabali wa ngoma yake ya 'This Could Be Us' aliyodai kumshirikisha star kutoka Marekani, August Alsina. Read more about Rapa Octopizzo kumbe alituzuga tu