Mambo yalikuwa magumu kwa Miss TZ

Mrembo anayeshikilia taji la Miss Tanzania 2014, Lilian Kamanzima

Mrembo anayeshikilia taji la Miss Tanzania kwa sasa, Lilian Kamanzima amefungua moyo wake kueleza namna ambavyo imekuwa changamoto kwa upande wake, kushikilia taji hilo katika kipindi ambacho mashindano hayo yalifungiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS