Serikali kuwanoa Wataalamu wa TEHAMA

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais , Menejimenti ya Umma Bwana Hab Mkwizu (katikati) akizungumza na wanahabari

Serikali imeanza kuwanoa wataalamu wa TEHAMA na maofisa wake wa idara mbalimbali, ili kuweza kuunganisha mitandao yote ya TEHAMA kwa ajili ya kukomesha taarifa za ubadhirifu wa fedha za umma na ucheleweshaji wa taarifa kwa wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS