Nimepona kabisa, nipo vizuri msimu ujao - Makapu Kiungo chipukizi wa Yanga SC, Said Juma Makapu amesema hivi sasa anajiona yuko fiti kabisa kucheza soka la ushindani na kuisaidia timu yake kutwaa ubingwa. Read more about Nimepona kabisa, nipo vizuri msimu ujao - Makapu