Serikali yaombwa kutoa ruzuku wachimbaji wadogo
Serikali imeombwa kuangalia uwezekano wa wa kuwapatia ruzuku wachimbaji wa madini wadogowadogo hapa nchini ,ili kuwawezesha kufanyaka kazi ya uchimbaji kwa utaalamu na kuacha kuwa tegemezi kwa kuingia mikataba na wawekezaji kutoka nje ya nchi.