Ulipaji faini kwa njia mitandao utapunguza Ajali

Kamanda wa kikosi cha Usalama barabarani nchini Mohamed Mpinga.

Azimio jipya la ulipaji faini kwa njia ya mtandao limejadiliwa na kuazimiwa na wajumbe wa mkutano Mkuu wa wadau wa usalama barabarani ili kuweza kupunguza ajali za barabarani katika kuelekea kwenye maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS