Daniel apeleka Bongo movie shule

Mtunzi mahiri wa filamu Tanzania Daniel Manege

Mtunzi mahiri wa filamu Tanzania Daniel Manege amenuia kuonesha umuhimu wa elimu na changamoto zake, kupitia filamu ya SAFARI YA GWALU mwishoni mwa mwezi huu, ikibeba kisa cha kijana aliyeamua kurudi shule ya msingi baada biashara yake kufeli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS