Suluhu ya kero ishapatikana, zimebaki kura-Lowassa

Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),chini ya Mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),Mh. Edward Lowassa akihutubia mkutano Kibamba

Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), chini ya Mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Mh. Edward Lowassa , amesema amekwishakamilisha mipango ya kuondoa kero zinazowakabili wakazi wa Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS