Simba yaomba mabadiliko ratiba Kombe la Mapinduzi Mabingwa wa Kombe la Mapinduzi Simba Sc wameomba mabadiliko ya Ratiba kwa waandaaji wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari mbili Mwakani Visiwani Zanzibar. Read more about Simba yaomba mabadiliko ratiba Kombe la Mapinduzi