Polisi,TRA wayashikilia makontena 9 Dar es salaam

Mkurugenzi wa Elimu kwa walipa Kodi wa Mamlaka ya Kodi Tanzania TRA Richard Kayombo.

Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam likishirikiana na maafisa wa Forodha na Mamlaka ya Kodi ya Mapato Tanzania (TRA) limeyakamata makontena tisa maeneo ya Mbezi Beach Tank Bovu yakiwa yameshushwa katika eneo ambalo siyo rasmi kuhifadhi makontena.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS