Azam FC yawapumzisha wachezaji timu ya taifa Uongozi wa Azam FC umesema umeamua kuwapa mapumziko wachezaji wake waliokuwa timu ya taifa ili kuweza kupata kidogo muda wa kupumzika mpaka timu itakapowasili kutokea jijini Tanga. Read more about Azam FC yawapumzisha wachezaji timu ya taifa