Azam FC kutafuta point tatu kesho kwa Mtibwa Michuano ya ligi kuu ya soka Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea hapo kwa kuchezwa mchezo mmoja wa Kiporo ambapo Azam FC watawakaribisha Mtibwa Sugar uwanja wa Chamazi jijini Dar es salaam. Read more about Azam FC kutafuta point tatu kesho kwa Mtibwa