Msanii wa muziki nchini Uganda Eddy Kenzo akiwa na dansa kinda marehemu Alex Ssempijja
Kufuatia kifo cha staa kinda wa kudansi kutoka nchini Uganda, Alex Ssempijja staa wa muziki Eddy Kenzo bado anaendelea kusimamia matibabu ya Patricia ambaye alinusurika katika ajali hiyo.