Yanga na Mtibwa zatinga nusu fainali Mapinduzi

Makundi ya michuano ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyotolewa mapema na ZFA kwaka huu

Klabu ya Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya Nusu fainali kufuatia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa mabao ambayo yamefungwa na wachezaji Aboubakar na Malimi Busungu na kuwa kinara wa kundi B la michuano ya Kombe la Mapinduzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS