ACACIA kupunguza wafanyakazi baada ya soko kushuka
Kampuni ya Madini ya ACACIA, inayomilikia migodi mitatu ya dhahabu ikiwemo Buzwagi, North Mara na Bulyanhulu imeanza zoezi la kupunguza wafanyakazi wake ili kukabiliana na athari za kushuka kwa soko la dhahabu katika soko la dunia.