Wanne wa familia moja wauawa kwa mapanga Geita

Kamanda wa polisi Mkoani Geita,Loston Mponjoli Lwabulambo

Watu wanne akiwemo mtoto mwenye umri wa miezi minane wote wa familia moja wakazi wa kijiji cha Bugarama wilayani Geita, wameuawa huku mwingine akijeruhiwa kwa kukatwa mapanga na watu wasiofahamika kutokana na kile kinachodaiwa imani zakishirikiana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS