Yanga yamkabidhi jezi namba 14 nyota kutoka Niger

Nyota mpya wa mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga Boubacar Garba akiwa kwenye jezi ya timu yake ya Taifa ya Niger

Vinara wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga imemtambulisha nyota wake mpya wa kimataifa kutoka Niger mbele ya waandishi wa habari Boubacar Yusuph kwa kumkabidhi jezi namba 14 tayari kwa kuanza kuwatumikia wanajangwani hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS