Wanne wa familia moja wauawa kwa mapanga Geita
Watu wanne akiwemo mtoto mwenye umri wa miezi minane wote wa familia moja wakazi wa kijiji cha Bugarama wilayani Geita, wameuawa huku mwingine akijeruhiwa kwa kukatwa mapanga na watu wasiofahamika kutokana na kile kinachodaiwa imani zakishirikiana.