Naj: Kuachana na uzungu kumesaidia Nyota wa muziki nchini Tanzania Naj Nyota wa muziki Naj ameeleza kuwa, hatua kubwa ambayo muziki wa hapa nyumbani umepiga, umetoa nafasi zaidi kwa wasanii wa aina yake kuchanganya ladha zaidi na kukubalika sana na mashabiki wa muziki wake. Read more about Naj: Kuachana na uzungu kumesaidia