Wakina Mandojo wafungua studio
Wasanii Mandojo pamoja na Domokaya wameamua kuanza mwaka kwa mtindo tofauti ambapo mbali na uwekezaji mbalimbali waliofanya katika biashara wameamua kufungua studio ya muziki kwa lengo ya kusaidia wasanii wengine kufikia mafanikio kimuziki.

