Naj: Kuachana na uzungu kumesaidia

Nyota wa muziki nchini Tanzania Naj

Nyota wa muziki Naj ameeleza kuwa, hatua kubwa ambayo muziki wa hapa nyumbani umepiga, umetoa nafasi zaidi kwa wasanii wa aina yake kuchanganya ladha zaidi na kukubalika sana na mashabiki wa muziki wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS