Nchi haina haja ya mawaziri - Madee

Msanii Madee amesema kutokana na jinsi Rais DK. Joh Pombe Magufuli anaendesha nchi, haoni kama kuna haja ya kuwepo kwa baraza la mawaziri, kwani waliopo kwenye uongozi wanajitosheleza kufanya vizuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS