Meneja wa kituo cha Wanawe na diwani ya Kata ya Kirungule Said Fella
Meneja wa kituo cha Wanawe na diwani wa Kata ya Kirungule Said Fella amesema kuwa mwaka 2016 unaonyesha utakuwa ni wenye mafanikio makubwa kwa wasanii kutoka tasnia mbalimbali za burudani nchini.