Madaktari wa Tanzania na Kenya kufanya upasuaji Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Madaktari bingwa wa upasuaji kutoka hospitali za Muhimbili, Aga Khan na Kenyatta nchini Tanzania wanatarajia kuendesha zoezi la upasuaji wa viungo vilivyotokana na ajali au majanga ya moto. Read more about Madaktari wa Tanzania na Kenya kufanya upasuaji