wananchi wanauelewa mdogo wa chakula,lishe
Mhadhiri Chuo Kikuu cha Kilimo nchini Tanzania (SUA) ambaye ni mtaalamu wa chakula na lishe Prof. Joyce Kinabo amesema kuwa wananchi wa Tanzania bado wana uelewa mdogo wa masuala ya chakula na lishe hivyo kupelekea watu wengi kuugua magonjwa