TRL walipewa bil 13 ila miundo mbinu haikujengwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipofanya ziara ya kushtukiza leo Shirika la reli, amezungumza na Mkurugenzi Mkuu TRL, Mhandisi Elias Mshana, Waziri Mkuu alisema amefika kwenye shirika hilo ili kujifunza utendaji wao kazi lakini anazo taarifa za wao