Afisa mtendaji utawala wa kiwanda cha sukari cha TPC, Jafary Ally.
Uongozi wa Kiwanda cha Sukari TPC, Moshi, Mkoani Kilimanjaro umelalamikia uingizwaji wa holela wa sukari za magendo kutoka nchi za Brazil na India kuwa umeathiri soko la ndani la bidhaa hiyo.