Madiwani watakiwa kukusanya mapato Njombe Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba Halmashauri ya wilaya ya Njombe leo imefanikiwa kuwaapisha madiwani wake na kufanya uchaguzi wa mwenyekiti wa baraza la madiwani wa halmashauri hiyo na makamu wake huku kamati za kudumu zikiundwa. Read more about Madiwani watakiwa kukusanya mapato Njombe