Waziri Mkuu akutana na mabalozi wa nchi tatu
Waziri Mkuu Kasim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi watatu kutoka nchi za China, Sudan Kaskazini na Korea Kusini ambao wote walimuhakikishia Waziri Mkuu kusaidiana na Serikali ya Tanzania katika kuleta maendeleo.