Waziri Mkuu akutana na mabalozi wa nchi tatu

Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na balozi wa China Nchini Dkt. Lu Youqing

Waziri Mkuu Kasim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi watatu kutoka nchi za China, Sudan Kaskazini na Korea Kusini ambao wote walimuhakikishia Waziri Mkuu kusaidiana na Serikali ya Tanzania katika kuleta maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS