Meneja wa uchimbaji wa kampuni Tanzanite One, Apolinary Modest
Wafanyakazi 635 wa Mgodi wa Tanzanite One wanaofanyakazi katika machimbo ya Tanzanite Mererani Simanjiro wanatarajiwa kupunguzwa kazi kutokana na hali ya uzalishaji ya kampuni hiyo kuzorota.