Rais Dkt.Magufuli akutana na Spika wa Burundi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Ndugu Reverien Ndikuriyo Spika wa Seneti wa Bunge la Burundi.

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na spika wa seneti na mjumbe maalum wa Rais wa jamhuri ya Burundi mhe. Reverien Ndikuriyo ikulu jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS