Tenisi ya walemavu Tanzania Kwenda Afrika Kusini

Timu ya taifa ya walemavu ikiagwa ikielekea mashindano ya All African Games iliyofanyika mwaka huu nchini Congo Brazzaville

Timu ya Taifa ya Tanzania mchezo wa tenisi kwa walemavu inatarajiwa kuondoka nchini Desemba 13 mwaka huu kuelekea nchini Afrika Kusini kwenye mashindano ya BMP Parabous ikiwa ni ya kusaka pointi ili kujiimarisha kwenye viwango vya ubora wa dunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS