TFDA Arusha yateketeza vipodozi vyenye sumu

Vipodozi vyenye viambata vya sumu vikiteketezwa na Mamlaka ya dawa na Chakula (TFDA).

Mamlaka ya dawa na chakula kanda ya kaskazini imeteketeza vipodozi vilivyopigwa marufuku kuingia nchini vyenye thamani ya shilingi milioni 34 na laki tisa baada ya kuvikamata katika mpaka wa Namanga mkaoni Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS