Tutatangaza matokeo bila upendeleo Arusha-Idd

Mkurugenzi wa jiji la Arusha Juma Idd

Maandalizi ya uchaguzi wa kumpata mbunge wa jimbo la Arusha mjini utakaofanyika Jumapili ijayo yamekamilika huku serikali ya mkoa huo ikiwataka wananchi kujitokeza kushiriki zoezi hilo kwa kufuata taratibu zilizopangwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS