Tutatangaza matokeo bila upendeleo Arusha-Idd
Maandalizi ya uchaguzi wa kumpata mbunge wa jimbo la Arusha mjini utakaofanyika Jumapili ijayo yamekamilika huku serikali ya mkoa huo ikiwataka wananchi kujitokeza kushiriki zoezi hilo kwa kufuata taratibu zilizopangwa.