SIMBA YAUNGURUMA NANGWANDA SIJAONA
Mshambuliaji wa klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba Ibrahim Ajib ameibuka shujaa jioni ya leo kwenye uwanja wa Nangwanda sijaona alipoifungia bao pekee na la ushindi klabu yake katika mechi ya kiporo ya ligi kuu ya soka Tanzania bara dhidi ya Nanda Fc