Serikali yaanza kuchukua hatua kushuka kwa Elimu

Mkurugenzi wa sera na mipango wa wizara ya Elimu, Sayansi,Teknolojia na Ufundi Clifford Tandari

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi,Teknolojia na Ufundi imeanza kuchukua hatua kukabiliana na changamoto ambazo zimekuwa zikichangia kwa kiasi kikubwa kushuka kwa kiwango cha ufaulu na kuporomoka kwa elimu kwa shule za msingi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS