SIMBA YAUNGURUMA NANGWANDA SIJAONA

Kikosi cha wekundu wa msimbasi Simba katika picha ya pamoja kabla ya moja ya mechi ya ligi kuu ya soka Tanzania bara.

Mshambuliaji wa klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba Ibrahim Ajib ameibuka shujaa jioni ya leo kwenye uwanja wa Nangwanda sijaona alipoifungia bao pekee na la ushindi klabu yake katika mechi ya kiporo ya ligi kuu ya soka Tanzania bara dhidi ya Nanda Fc

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS