Kikwete kufanya usafi Chalinze kesho
Rais Mstaafu wa Tanzania wa awamu ya nne Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kesho Tar 09/12/2015 ataadhimisha siku ya uhuru wa Tanganyika kwa kushiriki katika kufanya usafi katika hospitali ya Chalinze katika mkoa wa pwani.