TFF yasitisha ziara ya timu ya Taifa ya vijana
Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 15 inarejea jijini Dar es salaam baada ya ziara yake ukanda wa Afrika Mashariki kusitishwa kufuatia kukosekana kwa fedha ya kuihudumia baada ya TRA kufungia akauti za shirikisho la soka nchini TFF.