Watuhumiwa TANESCO Kagera wabadilishiwa kesi
Kesi ya upotevu wa shilingi bilioni 1 na milioni 75 inayowakabili waliokuwa watumishi wa shirika la ugavi wa umeme nchini TANESCO, Wilayani Karagwe mkoani Kagera na wafanyakazi wawili wa CHIKO imebadilishwa na kuwa ya uhujumu uchumi