Watumishi 9 wasimamishwa kazi Kilimanjaro

Mkuu wa wilaya ya Hai akiangalia moja ya eneo la barabara ya Machame ambalo lina kasoro katika ukarabati wake huku maofisa wa Tanroads mkoa wa Kilimanjaro.

Halmashauri ya wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro imewasimamisha kazi watumishi tisa kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za miradi ya maendeleo zaidi ya shilingi milioni 515 katika kipindi cha mwezi July 2014 hadi June 2015.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS