Yanga kuiwinda Ligi ya Mabingwa Afrika Kusini Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga wanatarajia kuondoka Ijumaa wiki hii kuelekea nchini Afrika kusini ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya ligi ya mabingwa Afrika. Read more about Yanga kuiwinda Ligi ya Mabingwa Afrika Kusini