Wafanyabishara soko la Muheza wagoma kuhama

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua na kuzungumza na wafanyabiashara katika soko la Vyakula Michungwani Wilayani Muheza Mkoa wa Tanga ambalo limekataliwa na baadhi ya wafanyabiashara

Wafanyabiashara zaidi ya 300 walioko katika soko kuu la vyakula wilayani Muheza wameigomea serikali na kutishia kutolipa kodi baada ya kutakiwa kuhama kwenda katika soko la Michungwani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS