Mikoa 14 Tanzania yatengewa fedha za kifua kikuu
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania imesema bado hali ya ugonjwa wa kifua kikuu ni mbaya ambapo kati ya watu laki moja kuna wagonjwa kati ya mia mbili hamsini na mia tano ambao wanaugua ugonjwa huo.

