Walimu wakike wanakosa maadili ya mavazi- Msangi
Mkuu wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Bituni Msangi amesema kuwa baadhi ya walimu wa kike nchini hawavai mavazi yenye maadili ya ualimu hatua ambayo huwasababisha wanafunzi hasa wa kiume kuwataka kimapenzi.
