Chambuso akiri kosa la Yamoto, Salam TZ kufanana
Meneja wa kundi la Yamoto Band kutoka Mkubwa na Wanawe, Chambuso ametolea ufafanuzi kitendo cha kutambulisha kundi jipya la Salam katika game ya Bongo Fleva, wakati ikionekana dhahiri kuwa muziki wanaofanya ni ule ule ambao unafanywa na Yamoto Band.
