Naibu Wazri ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI),Suleiman Jaffo
Serikali imeiagiza watendaji wa wakala wa mabasi yaendayo haraka (DART), kufanyia kazi changamto zilizopo ikiwamo suala la nauli iliyopendekezwa ili kutumiwa katika kipindi cha mpito.