DART watakiwa kufanyia kazi changamoto za mradi

Naibu Wazri ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI),Suleiman Jaffo

Serikali imeiagiza watendaji wa wakala wa mabasi yaendayo haraka (DART), kufanyia kazi changamto zilizopo ikiwamo suala la nauli iliyopendekezwa ili kutumiwa katika kipindi cha mpito.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS