Kivumbi cha FDL kuendelea wikiendi hii Shirikisho la soka Tanzania TFF Ligi daraja la kwanza inaendelea wikiendi hii kwa michezo 12 kuchezwa katika viwanja mbalimbali, huku timu 3 za juu kutoka katika kila kundi zikipata nafasi ya kupanda Ligi Kuu msimu ujao moja moja. Read more about Kivumbi cha FDL kuendelea wikiendi hii