Magufuli awateua Migiro, Chikawe kuwa mabalozi

Mh. Mathias Chikawe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa mabalozi watatu katika Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS