Shehena ya mafuta na dawa yakamatwa Tanga Afisa TRA Horohoro - Edwin Lwato Shehena ya bidhaa aina ya mafuta ya taa na dawa za kulevya kilo 98 zilizokuwa zikiingizwa nchini kwa njia za panya kutoka nchini Kenya zimekamatwa katika mapori yanayounganisha mpaka wa Tanzania na Kenya. Read more about Shehena ya mafuta na dawa yakamatwa Tanga