Watumishi TAKUKURU waonywa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Angella Kairuki ametangaza kuwachukulia hatua watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini wanaotajwa kufanya vitendo ambavyo ni kinyume na maadili ya utumishi.
