Kazimoto kumpiga Mwandishi, TFF yatoa tamko Shirikisho la Soka Tanzania TFF limepokea kwa masikitiko taarifa ya kupigwa kwa mwandishi wa habari za michezo Mwanahiba Richard na kiungo wa timu ya Simba SC Mwinyi Kazimoto mjini Shinyanga. Read more about Kazimoto kumpiga Mwandishi, TFF yatoa tamko