20% atubu kwa Man Walter
Ni zaidi ya mara moja msanii wa bongo fleva 20% kutangaza anarudi kombinenga kwa Man Wolter alafu kazi hatuzioni zikifanyika ghafla tukaona kwenye mitandao Man kamrudisha 20% na kusaini mikataba kabisa enews ilitaka kujua kweli?.
Man wolter aliiambia Enews kuwa ni kweli kipindi hiki wamemrudisha 20% kombinenga rekodi na kipindi hiki wapo makini katika jambo wanalotaka kulifanya na tayari wanga ngoma zaidi ya tano ambazo zipo tayari kutoka.

