Wizara ya afya kuboresha matibabu ya saratani.
Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania imesema inaendelea kuimarisha Huduma za matibabu kwa wagonjwa wanaotakiwa kupimwa vipimo vya mishipa ya fahamu pamoja na saratani kwa kutumia mashine.