Cheka ulingoni kupambana na Mmalawi leo

Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Cosmass Cheka leo anapanda ulingoni Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam kupambana na bondia wa Malawi, Chrispin Moliyati katika pambano la kuwania ubingwa wa UBO wa uzito wa Super Feather.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS